BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS: MEYA NA WAANDISHI WA HABARI WAPATA AJALI KATIKA MSAFARA WA MKUU WA MKOA MOROGORO.


MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOROGORO, AMIR NONDO NA WAANDISHI WAWILI WA HABARI MANISPAA YA MOROGORO, ANITA CHALI AMBAYE NI MPIGA PICHA WA TBC NA HUSSEIN NOHA MPIGA PICHA ITV WAMEPATA AJALI, BAADA YA GARI LAO KUGONGWA NA BASI LA HAPPY AFRICA ENEO LA MZAMBARAUNI BARABARA KUU YA DAR ES SALAAM-MOROGORO LEO NA KULAZWA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MOROGORO.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: