Treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ikiwa imehama njia yake baada ya kugongwa na lori la mizigo katika makutano ya Reli ya Kati na Barabara ya Kawawa, Dar es Salaam jana. Dereva wa treni hiyo alijeruhiwa wakati dereva wa lori hilo alikimbia baada ya ajali. (Picha na Fadhili Akida).
0 comments:
Post a Comment