Papa Francis amesema kuwa hajawahi kutazama runinga kwa miaka 25 na mtandao wa internet. Kiongozi huyo mkuu wa kanisa Katoliki duniani anasema kuwa licha ya kutoangalia runinga ama TV pia huwa hatumii mtandao wa internet kwa ajili ya huduma mbalimbali zilizopo ndani ya mtandao huo.BBC
0 comments:
Post a Comment