“KIFO KIMENISAHAU…!”
Mzee Mahashta Mûrasi amezaliwa Bangalore tarehe 6 mwezi Januari 1835, akahamia na kufanyakazi kazi mjini Varanasi kuanzia mwaka 1903 hadi mwaka 1957 alipostaafu akiwa na miaka 122.
Kwa sasa Mûrasi ndiye binadamu mwenye umri mkubwa zaidi Duniani akikaribia miaka 180.
Mzee Mûrasi anasema vitukuuu na vilembwe vyake wanakufa katika hali ambayo anaona “kifo kinamsahau yeye kama yupo hai”, hali inayomfanya akate tamaa kabisa ya kufa!
HII INATOKA UKURA WA Mussa Ally Bwakila.
Mzee Mahashta Mûrasi amezaliwa Bangalore tarehe 6 mwezi Januari 1835, akahamia na kufanyakazi kazi mjini Varanasi kuanzia mwaka 1903 hadi mwaka 1957 alipostaafu akiwa na miaka 122.
Kwa sasa Mûrasi ndiye binadamu mwenye umri mkubwa zaidi Duniani akikaribia miaka 180.
Mzee Mûrasi anasema vitukuuu na vilembwe vyake wanakufa katika hali ambayo anaona “kifo kinamsahau yeye kama yupo hai”, hali inayomfanya akate tamaa kabisa ya kufa!
HII INATOKA UKURA WA Mussa Ally Bwakila.
0 comments:
Post a Comment