BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WEMA SEPETU NI MGONJWA LAKINI UGONJWA WAKE TIBA WANAYO WANAUME !.

http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/06/wema.png 
MISS TANZANIA 2006, WEMA SEPETU AKIWA KATIKA POZI.
Wema Sepetu na Bob Juniour.

Wema Sepetu na Nangari. 

 
IMEBAINIKA! Kufuatia tabia yake ya kubadili wanaume, mrembo asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Isaac Sepetu imefahamika kuwa chanzo cha yote ni kusumbuliwa na ugonjwa ujulikanao kitaalamu kwa jina la Sex Maniac.
Wema Sepetu na Diamond. 

 
Akizungumza na gazeti hili, mtaalam wa masuala ya utabiri na nyota, Maalim Hassan Yahya alisema kwamba suala la Wema kubadili wanaume kila mara si kulogwa bali anasumbuliwa na ugonjwa huo ambao mtu akiwa nao kila wakati anawaza mapenzi na raha yake ni kufanya tendo la ndoa.
Wema Sepetu na Chaz Baba. 

 
Maalim alidadavua kwamba, ugonjwa huo hautibiwa na dawa za hospitali kama magonjwa mengine ila kama mtu anahitaji kuondokana na tatizo hilo anatakiwa kumtafuta mwanasaikolojia ambaye mara kwa mara atakuwa anamjenga kwa ushauri hadi atakapoona amekuwa sawa kwa kuacha kuwaza mambo hayo.
Wema Sepetu na Steven Kanumba.

 
“Watu wanashindwa kuelewa, unakuta mtu anakuwa na wanaume wengi, anabadili kila mara alafu watu wanamsema bila kujua kwamba ni ugonjwa ambao mtu anajikuta akipenda ngono kila wakati na kwenye mawazo yake anatawaliwa na kutamani tendo la ndoa tu.
“Lakini wapo wengine wanabadili mabwana maarufu ili nao wawe maarufu,” alisema Maalim.
Wema Sepetu na Jumbe.


Wema aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume tofauti akiwemo, Herry Samir ‘Mr. Blue’, Khaleed Mohamed ‘TID’, marehemu Steven Kanumba, Yusuf Jumbe, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, CK na Nagari Kombo. 


Jitihada za kumpata Wema ili kuzungumzia hali hiyo ziligonga mwamba baada ya simu yake kutokuwa hewani na kukosekana nyumbani kwake hivyo jitihada zinaendelea.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: