BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAKURIA WAPITISHA NDOA YA JINSIA MOJA TANZANIA: WANAWAKE WAOWANA WENYEWE KWA WENYEWE

Wegesa na Nyanswi. Ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.

Wameoana kwa miaka 15 ambapo wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi mali huku Wagesa akimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo.

Nyanswi ana wavulana kwa hivyo anaweza kurithi kutoka kwa Wagesa.

Wanandoa hao wana wavulana sita,waliozaliwa na ndugu za marehemu mumewe Wagesa.

Utamaduni huu pia ni njia ya kuepuka ghasia za nyumbani ambapo asilimia 60 ya wanawake katika eneo hilo wameshuhudia ghasia za vita ama zile za kihisia.BBC
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: