BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WATU 60,000 WAPEWA RUKSA NA DAKTARI KUNYWA POMBE.

Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa tembo.

Takwimu zilizowekwa wazi na idara ya afya inaonesha kuwa watu 60,000 wamepewa idhini na madaktari kunywa pombe

katika jimbo hilo ambapo adhabu ya ni kali. Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa tembo.

Takwimu zilizowekwa wazi na idara ya afya inaonesha kuwa watu 60,000 wamepewa idhini na madaktari kunywa pombe

katika jimbo hilo ambapo adhabu ya ni kali.

Haijulikani ni ugonjwa upi huo unaotibika na pombe ila inaaminika watu hujilinda kwa idhini hizo za daktari kuepuka hatari ya kushikwa .

Haijulikani ni ugonjwa upi huo unaotibika na pombe ila inaaminika watu hujilinda kwa idhini hizo za daktari kuepuka hatari ya kushikwa .

Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa tembo.

Takwimu zilizowekwa wazi na idara ya afya inaonesha kuwa watu 60,000 wamepewa idhini na madaktari kunywa pombe

katika jimbo hilo ambapo adhabu ya ni kali.

Haijulikani ni ugonjwa upi huo unaotibika na pombe ila inaaminika watu hujilinda kwa idhini hizo za daktari kuepuka hatari ya kushikwa.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: