BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UKWELI KUTOKA MOYONI MWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI FEBRUARI 2/ 2016.

"Nimeamua nchi iende, na itakwenda. Yule anayefikiri anaweza kukwamisha, atakwama yeye. 

Mimi sio kichaa wala mimi sio dikteta inafika mahali inabidi ufunge macho ufanye maamuzi kutokana na watendaji wa serikali wanavyoiharibu nchi, sadaka yangu kwa watanzania ni kuwatumikia vyema hata nikifika mbinguni naweza kupewa kazi ya kuongoza malaika" Februari 2/ 2016.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: