Maandamano bado yana endelea nchini Hong Kong na kusababisha baadhi ya barabara kufungwa katika mitaa ya Mon kok na barabara kuu ya kuingia mjini ya Nathan Road, Waandamanaji wameweka mahema barabarani huku polisi wakiimalisha ulinzi bila kuwabuguzi raia waandishi wa habari wakionekana juu ya maandaki ya kuingilia kwenye vituo vya treni vya Mon kok.Picha/MTANDA BLOG kwa hisani ya mdau Twalib Mwaikuju aliyeko Hong Kong.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / Uncategories / TIMBWILI TIMBWILI LA MAANDAMANO RAIA WA HONG KONG KUFUNGA BARABARANI KATIKA PICHA NDIVYO HALI ILIVYO.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment